Sura za Qur’ani Tukufu / 35
TEHRAN (IQNA) - Mwanadamu anahitaji shughuli na kazi ili kupata pesa kwa ajili ya kuwa na maisha yaliyojaa amani na faraja. Qur'ani Tukufu imewaalika wanadamu kufanya biashara ambayo ndani yake hakuna hasara na ambayo inawapeleka kwenye amani ya milele.
Habari ID: 3475994 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/27